Posts

Showing posts from August, 2021

VISANGA VYA JOHN SANGA

Image
John Sanga alikuwa mwanafunzi mwenye kipaji cha uchoraji. Siku moja alichora noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu darasani.  Mwalimu alipoingia darasani aliiona noti ile na, katika kuikimbilia ile hela kuiokota akajikwaa na kuvunjika pua. Akauliza wanafunzi 'Nani aliyechora hapo chini? . Wanafunzi wote wakamtaja John. Mwalimu akaamua kumpigia simu baba yake John (Mzee Sanga). Mzee Sanga akapokea simu akiwa hospitalini kalazwa ,mwalimu akamwelezea makosa ya mwanae ,Mzee Sanga akamwambia mwalimu ;afadhali yako wewe umepasuka pua hujalazwa ,huyo mbwa jana kachora uchi wa mwanamke kwenye soketi ya umeme. Je, Msee Sanga unahisi aliumia wapi? 

VUNJA MFUPA KAMA BADO MENO YAPO

Image
1. The inventor of the of the treadmill died at the age of 54 2. The inventor of gymnastics died at the age of 57 3. The world bodybuilding champion died at the age of 41 4. The best footballer in the world Maradona, died at the age of 60. BUT 5. The KFC inventor died at 94. 6. Inventor of Nutella brand died at the age of 88 7. Imagine, cigarette maker Winston died at the age of 102 8. The inventor of opium died at the age of 116 in an earthquake 9. Hennessey inventor dies at 98. How did these doctors come to the conclusion that exercise prolongs life? The rabbit is always jumping up and down but it lives for only 2 years and the turtle that doesn’t exercise at all, lives 400 years. So, Take some rest, Chill, stay cool, eat, drink and enjoy your life.

𝕋ℍ𝔼 π•π”Έπ•ƒπ•Œπ”Ό 𝕆𝔽 𝔸ℕ𝔾𝔼ℝ

Image
"The angry man is aiming at what he can attain, and the belief that you will attain your aim is pleasant.” β€”Aristotle Anger has a negative reputation when compared to positive emotions such as happiness, enthusiasm, and hope. Perhaps the lack of respect for anger is rooted in social, cultural, and religious reasons, as well as the obvious manifestation of its often destructive outcomes, such as aggression and violence. In fact, many believe we would be better off without anger as an emotion. However, more and more social and evolutionary psychologists, brain scientists, and mental health professionals are suggesting anger has valuable qualities and can be beneficial to the human condition. From an evolutionary perspective, all emotions are appropriate in certain circumstances when experienced at an optimal degree, providing the resources to effectively operate toward a desired goal. For example, certain levels of stress and anxiety push us to perform at a high level. S...

THE MAN

Image
Man wakes up in a slum with no memory of how he got there. He wanders around aimlessly before he finds even one person who will talk to him. Some ratty beggar on the street turns out to be nice enough to explain where he is. "You're in the afterlife!" he tells the man, "But you must have been a real shithead when you were alive, because this is the fourth ring, and only the worst people come here." All of a sudden, a siren goes off, one of those air-raid things. The man is terrified but the beggar gets up calmly and leads him to a big, dilapidated warehouse where thousands of other similarly unkempt souls are gathering. When the man asks why they're all here, the beggar points to a line of folding tables against the wall. Each table has some moldy bread, cups of dingy water, and some bowls of broth so thin they could have just run out of cups. Only then does the man realize how hungry he is. A guard in heavy body armor blows a whistle and all the...

NYUKI WAMTIA ADABU WAZIRI

Image
Waziri wa ufugaji katembelea mradi wa nyuki, alipofika getini mlinzi akamwambia hairuhusiwi mtu kuingia kwa sasa. Waziri kwa hasira akamjibu mlinzi kwani hujui mimi ni nani huku akimwonyesha kitambulisho Mlinzi kwa uoga wa kumwaga unga, akamwambia haya ingia mheshimiwa. Baada ya muda mfupi, Waziri alisikika akiita Mlinzi...!  NYUKI wamenivamia...! Mlinzi AKAJIBU waoneshe kitambulisho huenda HAWAKUJUI WEWE NI NANI

MGAO WA MALI

Image
Kesi ya Mirathi ilipelekwa mahakamani huko Voi. Kijana wa miaka 20 alikuwa anataka kupewa mgao wake wa mali za marehemu baba yake. Ni kweli alikuwa na mgao wake, ila mjane wa marehemu, ambaye ni mama yake mzazi, alikuwa anamuona bado mdogo kuweza kumiliki mali nyingi kiasi kile. Marehemu alikuwa ameacha magari na nyumba kadhaa. Basi yule kijana baada ya kuona mama yake hataki kumpa mgao wake akafungua kesi Mahakamani. Kufika mahakamani Hakimu akamuuliza yule kijana: "Unamtambua huyu Mwanamke?" Kijana Akajibu: "Ndiyo. Ni Mama yangu Mzazi." Na mama akaulizwa, "Unamtambua Huyu Kijana?" Mama akajibu,: "Ndio ni Mwanangu wa Kumzaa." Hakimu akamuuliza yule Kijana: "Kijana, Eleza Mahakama Madai Yako ni Yepi?" Kijana akajibu: "Madai yangu nina taka nikabidhiwe mgao wangu wa mali za marehemu baba. Ila Mama nimemwambia amegoma kunipa." Mama akaulizwa na Hakimu: "Unasemaje Kuhusu Haya Madai ya huyu Kijana!?" Mama aka...