NYUKI WAMTIA ADABU WAZIRI



Waziri wa ufugaji katembelea mradi wa nyuki, alipofika getini mlinzi akamwambia hairuhusiwi mtu kuingia kwa sasa. Waziri kwa hasira akamjibu mlinzi kwani hujui mimi ni nani huku akimwonyesha kitambulisho

Mlinzi kwa uoga wa kumwaga unga, akamwambia haya ingia mheshimiwa. Baada ya muda mfupi, Waziri alisikika akiita Mlinzi...!  NYUKI wamenivamia...!
Mlinzi AKAJIBU waoneshe kitambulisho huenda HAWAKUJUI WEWE NI NANI

Comments

Popular posts from this blog

FREEDOM MISUNDERSTOOD.

𝐓𝐇𝐄 𝐂𝐎𝐎𝐋𝐄𝐒𝐓 𝐀𝐍𝐈𝐌𝐀𝐋

VISANGA VYA JOHN SANGA